Questions LLC Swahili
Uliza swali jipya
Bainisha sentensi ifuatayo iwe mazoea Kwa kutumia kirejeshi `o' Mtoto anayelia huchapwa
81 results
Bainisha sentensi ifuatayo iwe mazoea Kwa kutumia kirejeshi `o'
Mtoto anayelia huchapwa
Badilisha sentensi ifuatayo iwe mazoea kwa kutumia kirejeshi 'o' mtoto anayelia huchapwa
Mtoto anayelia huchapwa
bainisha matumizi ya viambishi ku na ji katika sentensi ifuatayo
amejikata
bainisha matumizi ya viambishi ku na ji katika sentensi ifuatayo
atakupiga
bainisha matumizi ya viambishi ku na ji katika sntnsi ifuatayo
mwanafunzi hukusoma kwa biii
bainisha matumizi ya ku na ji katika sentensi ifuatayo
Mchezaji huyu ni nairobi
CHANGANUA SENTENSI MWALIMU HUYU MZURI ANAFUNDISHA DARASANI KWA KUTUMIA VISHALE
andika upya sentensi ifuatayo kwa kufuata maagizo
Mizizi ya mibaruti iliwaponya watu ambao walikuwa na shida kama hii yenu [
andika sentensi ifuatayo kwa ukubwa huku ukikanusha
kijibwa changu ni kik,ali sana
andika sentensi ifuatayo katika msemo halisi
Mshtakiwa alidai kwamba alikuwa anaonewa kwa kuwa hakuwa ameshiriki ulevi kutoka
bainisha matumizi viambishi ku katika mwanafunzi hukusoma kwa bidii
Changanua sentensi ifutayo kuwa kutumia vishale: Mwalimu huyu mzuri anafundisha darasani
akifisha sentensi ifuatayo
ah huu upuuzi aliotuitia mmoja wao akaropoka
akifiasha sentensi ifuatayo sijaona kitabu kizuri kama mayai waziri wa maradhi utaniazima siku ngapi bashari alimwuliza
geuza iwe kitenzi:Mkufunzi
Motor anyelia huchapwa
kwa kutoa mfano mmoja taja aina za sentensi za kiswahili
andika wingi wa sentensi hii katika ukubwa kichinjio hiki kilikarabatiwa kwa pesa nyingi
Mifano ya misemo ya kutumia tia
kwa kutunga sentensi moja moja taja aina za sentesi
eleza sababu za wazungumzaji kutumia mbinu za madokezo na lugha mseto
mchezaji huyu ni hodari bainisha matumizi ya kiambishi ji
Jaza nafasi katika sentensi zifuatazo kwa neno sahili ili kukamilisha msemo;
(a)Jihadhari sana usije
eleza maana ya misemo ifuatayo
. Giza la ukata meza mate machungu .
Andika sentensi tatu ambazo zaweza kuwa sahihisho la sentensi hii.
Kule ndimo alipoingia
Fafanua maana ya misemo ifuatayo
a kutoa udhuru b kuonea wivu c kutia makali d kupiga ramli e kufanya inda f salimu amri g kunja
Kufaana kwa la just na la mvua
Kufaana kwa la jua na la mvua
Maana ya kufaana kwa la Jua na la mvua
Kufaana kwa la jua na la mvua maana yake
Ni nini maana ya kufaana kwa la jua na la mvua
nini Maana ya kufaana kwa la jua na la mvua
Maana ya kufaana Kwa la jua na la mvua ni nini
Maana ya msemo kufaana kwa la jua na la mvua.
matumizi ya ka na utung sntnsi kwa kila mojawapo
Nini maana ya msemo kufaana kwa la jua na la mvua
Andika kinyume wavulana watatu wanaingia darasani Kwa haraka
andika kinyume.wavulana watatu wanaingia darasani kwa haraka
yakinisha sntnsi hii
sijafahamu kwa nini hawamkarabisha mpwa wao
Kupiga bongo
Ulimweka mbele Ndumakuwili Kufaana kwa la jua na lamvua
maana ya sentensi
Aina za sentensi na mifano
Sentensi ukitumia dalali
Misemo katika sentensi
Aina za sentensi za kiswahili
Aina za sentensi za kiswahili
maana ya sentensi sahili
anika wingi wa sntnsi hii katika hali ya ukubwa
kihinjio hiki kilikarabatiwa kwa psa nyingi
eleza maana ya sentensi sahili
Maana ya misemo hii
1 nyama ya ulimi 2 ulimweka mbele 3kupiga domo 4ndumakuwili 5kufaana kwa la jua na la mvua
Maana ya misemo hii:
Nyama ya ulimi Ulimweka mbele Kupiga bongo Ndumakuwili Kufaana kwa la jua na la mvua
Maana ya misema hii:
Nyama ya ulimi Ulimweka mbele Kupiga bongo Ndumakuwili Kufaana kwa la jua na la mvua
Tunga sentensi ukitumia kina dalali
Misemo katika sentensi kutia chumvi
Taja aina za sentensi na utoe mifano
Andika maana ya misemo hii:a)nyama ya ulimi. b)ulimweka mbele. C)kupiga hongo. D)ndumakuwili. E)kufanana kwa la jua na la mvua.
Andika maana ya misemo hizi:
Nyama ya ulimi Ulimweka mbele Kupiga bongo Ndumakuwili Kufaana kwa la nja na la mvua
ANDIKA MAANA YA MISEMO HII : (A) NYAMA YA ULIMI ( B) ULIMWEKA MBELE ( C) KUPIGA BONGO ( D) NDUMAKUWILI ( E) KUFAANA KWA LA JUA
tambua vitnzi katika sntnsi hii kwa kuvipiga mistari
sisi tulikwisha kutambua alikuwa na nia mbaya.yy ni mwizi
Andika maana ya misemo hii:
a)nyama ya ulimi b)ulimweka mbele c)kupiga bongo d)ndumakuwili e)kufaana kwa la jua na la mvua
Andika maana ya misemo hii:
a)nyama ya ulimi b)ulimweka mbele c)kupiga bongo d)ndumakuwili e)kufaana kwa la jua na la mvua.
tumia shujaa kutunga sentensi kama kivumishi
tunga sentensi ukitumia kisabuni kama kielezi
tunga sentensi ukitumia neno vile kama
kitenzi
tunga sentensi itakayodhihirisha matumizi ya kielezi cha namna
Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino
India sentensi zenye vitenzi hivi ,nywa,pa,chwa
tunga sentensi ukitumia vile kama
kivumishi kielezi
tunga sentensi ukitumia neno vile kama
kiwakilishi
Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino na kielezi
tunga sentensi inayodhihirisha matumizi ya kielezi cha namna mfanano
Maana mbili za sentensi hii: Mama alimlimia mwanawe shamba.
eleza maana mbili ya sentensi;
Mama alimlimia mwanawe shamba
tunga sentensi ukitumia neno vile kama: a)kiwakilishi b)kivumishi
tunga sentensi moja yenye kitenzi kishirikishi kikamilifu na vitenzi sambamba
tumia neno mji kama kielezi cha mfanano na mfano katika sentensi
yakinish sentensi hii sija fahamukwa nini hawa mkaribishi mpwa wao
mshatikiwa alidai kwamba alikuwa ameonewa kwa kuwa hakuwa ameshiriki ulevi kutoka mwaka mwaka uliokuwa umetanglia katika msemo
Tumia misemo hii katika sentensi:kutia chumvi,kula kiapo,kupiga mbizi,kutia nanga,kuona haya?
Jaza neno ambalo ni kinyume cha lile lililopigwa mstari katika sentensi;
(i) Vile vitu ulivyovichanganya itakubidi (ii) Bomba