Eleza maana ya Vivugo na matambiko
Eleza maana ya misemo ifuatwayo a)giza la ukata..... b)meza mate machungu
Maana mbili za sentensi hii: Mama alimlimia mwanawe shamba.
Aina za sentensi za kiswahili
tunga sentensi ukitumia kisabuni kama kielezi
Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino
Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino na kielezi
Bainisha sentensi ifuatayo iwe mazoea Kwa kutumia kirejeshi `o' Mtoto anayelia huchapwa
Eleza maana zinazojitokeza katika mafungu yafuatayo; 1.Jambazi kutoka duniani liliiba 2.liliiba jambazi kutoka duniani 3.kutoka duniani jambazi liliiba 4.jambazi liliiba kutoka duniani.
Jaza neno ambalo ni kinyume cha lile lililopigwa mstari katika sentensi; (i) Vile vitu ulivyovichanganya itakubidi (ii) Bomba hili limeziba mwite fundi aweze