Bainisha sentensi ifuatayo iwe mazoea Kwa kutumia kirejeshi `o' Mtoto anayelia huchapwa
Mifano ya misemo ya kutumia tia
Aina za sentensi za kiswahili
tunga sentensi ukitumia kisabuni kama kielezi
Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino
Maana mbili za sentensi hii: Mama alimlimia mwanawe shamba.
Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino na kielezi
Jaza neno ambalo ni kinyume cha lile lililopigwa mstari katika sentensi; (i) Vile vitu ulivyovichanganya itakubidi (ii) Bomba hili limeziba mwite fundi aweze