Jaza neno ambalo ni kinyume cha lile lililopigwa mstari katika sentensi; (i) Vile vitu ulivyovichanganya itakubidi (ii) Bomba hili limeziba mwite fundi aweze
Katika misemo tia fora inamaanisha nini
Topasi iko katika ngeli ngani
Ugoro,Chai,Kata,Ubavu na Kutaulu ziko katika ngeli gani?
Aina za sentensi za kiswahili
tunga sentensi ukitumia kisabuni kama kielezi
Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino
Maana mbili za sentensi hii: Mama alimlimia mwanawe shamba.
Tunga sentensi ukitumia neno kisabuni kama nomino na kielezi
Bainisha sentensi ifuatayo iwe mazoea Kwa kutumia kirejeshi `o' Mtoto anayelia huchapwa